Friday, February 3, 2012

Wafungwa


Baadhi ya wafungwa wakiwa chini ya ulinzi kurudishwa Gerezani baada ya kukosa tiba katika Taasisi ya Mifupa MOI jijini Dar es Salaam jana kutokana na mgomo wa Madaktari unaondelea.Picha na Venance Nestory

No comments:

Post a Comment