Friday, February 3, 2012

Wagonjwa


Abdul Benja na Emmanuel Mtuka wakisubiri tiba nje ya Taasisi ya Mifupa MOI jijini Dar es Salaam jana kwa zaidi ya masaa sita hali hiyo inatokana na mgomo wa madaktari unoendelea katika Hosptali ya Taifa ya Muhimbili na baadhi ya vitengo vyake.Picha na Venance Nestory

No comments:

Post a Comment